Millionaire  Ads

Sunday, January 22, 2017

Majina ya wadaiwa sugu bodi ya mikopo elimu ya juu

Tags

INSTITUTIONS LIST

S.NoInstitution NameCode
1Zanzibar UniversityZU
2Zanzibar Institute of Finance & AdministrationZIFA
3Water Development & Management Institute(Chuo cha Maji - Ubungo)WDMI
4University of DodomaUDOM
5University Of Dar Es SalaamUDSM
6University of ArushaUOA
7Tumaini University Makumira CampusMUCO
8Tumaini University KCMC CampusTUKCMC
9Tumaini University Iringa CampusTUICO
10Tumaini University Dar es salaam CampusTUDARCO
11Teofilo Kisanji UniversityTEKU
12Tanzania Institute of AccountancyTIA
13Stephano Mosha Memorial University CollegeSMMUCO
14State University of ZanzibarSUZA
15St.John's University of Tanzania DSMSJUTDSM
16St.John's University of TanzaniaSJUT
17St. Joseph University in Tanzania, Arusha CampusSJUTAC
18St. Joseph College of EngineeringSTJCE
19St. Augustine UniversitySAUT
20Sokoine University of AgricultureSUA
21Sebastian Kolowa University CollegeSEKUCO
22SAUT MtwaraSAUTMTR
23Ruaha University collegeRUCO
24Primary Healthy Care InstitutePHCI
25Overseas InstitutionsOVERSEAS
26Open University of TanzaniaOUT
27Not ApplicableNTAPP
28Newman Institute of Social WorkNISW
29National Institute of Transport.NIT
30Mzumbe UniversityMU
31Mwenge University College of EducationMWUCE
32Mwalimu Julius K. Nyerere University of Agriculture and TechnologyMJNUAT
33Mwalim Nyerere Memorial AcademyMNMA
34Muslim University of MorogoroMUM
35Muhimbili University of Health and Allied SciencesMUHAS
36Mount Meru UniversityMMU
37Moshi University College of Cooperatives and Business Studies.MUCCOBS
38MODERN COMMERCIAL INSTITUTEMCISTU
39Mlimani School of Professional Studies - Dar es SalaamMLIMANI
40Mkwawa University College of EducationMUCE
41Mbeya Institute of TechnologyMIST
42Masoka Management Training InstituteMASOKA
43KAM College of Health Sciences -DSMKAM
44JORDAN UNIVERSITY COLLEGE-MOROGOROJUCM
45International Medical and Technological UniversityIMTU
46Institute of Social WorkISW
47Institute of Rural Development PlanningIRDP
48Institute of Jounalism & Mass CommunicationIJMC
49Institute of Finance ManagementIFM
50Institute of Adult EducationIAE
51Institute of Accountancy ArushaIAA
52ILEMI POLYTECHNIC COLLEGE-MBEYAIPCM
53Hubert Kairuki Memorial UniversityHKMU
54Eckensford Tanga UniversityETU
55Eastern and Southern African Management InstituteESAMI
56DSM Maritime InstituteDMI
57Dar es salaam University College of EducationDUCE
58Dar es salaam Institute of TechnologyDIT
59Community Development Training InstituteCDTI
60College of Engineering & TechnologyCOET
61College of Education ZanzibarCEZ
62College of Business Education(DSM campus)CBE
63College of Business Education(Dodoma campus)CBE DODOMA
64College of African Wildlife Management MwekaMWEKA
65Bugando College of Health SciencesBUCHS
66Arusha Technical CollegeATC
67Ardhi UniversityARU
68Agakhan University

Friday, January 20, 2017

MAFUNZO YA HALI YA HEWA (TABIA YA NCHI)

Tags

By: Abineri Mwanuke

KARIBU KATIKA MAFUNZO YAHUSUYO MABADILIKO
YA TABIA YA NCHI.

FIGHT AGAINST GLOBAL CLIMATIC CHANGES COMPAIGN

Tembelea:
www.tanzaniamynation.blogspot.com

Facebook:
A-newz classic
Abineri Wa Santina

SEHEMU YA KWANZA.

TABIA YA NCHI NI NINI?
(What is climate).
Tabia ya nchi ni wastani wa hali ya hewa ya mahali
fulani ambayo inarekodiwa kwa kipindi kisichopungua
miaka 30.

MABADILIKO YA TABIA YA NCHI NI NINI?
(What is global climatic changes?)
Ni kubadilika kwa hali ya hewa kiujumla katika eneo
fulani, inaweza kuwa mkoa, nchi, bara na hata dunia
kwaujumla. kwamfano; kama tabia ya nchi ilikuwa ya
kiikweta inabadilika na kuwa ya kitropiki au kutoka hali
ya kitropiki inabadilika na kuwa ya kijangwa.
Mabadiliko haya sasa yamekuwa yakijitokeza na
kushuhudiwa kwa sana katika dunia nzima kitu kibaya
zaidi ni kwamba mabadiliko haya yamekuwa
yakijitokeza katika dunia na kuleta athari hasi, yaani
dunia nzima imekuwa ikibadilika na kuelekea katika hali
ya ujangwa.
Jambo hili linabainika katika uwepo wa mvua
zisizotosheleza mahitaji ya shughuli za binadamu na pia
zisizo za kutabirika au kutokuwepo kabisa katika baadhi
ya maeneo.

Pia ongezeko la joto duniani(Global warming), kupotea
kwa baadhi ya wanyama na mimea au viumbe hai (loss
of biodiversity) yote hii inaonesha kuwa kuna
mabadiliko ya tabia ya nchi.
Katika Tanzania maeneo mengi yamekuwa yakikosa
mvua za kutosheleza shughuli za maeneo hayo na
mengine kukosa kabisa, hii ni hali ngeni kabisa katika
nchi yetu hivyo jitihada zinatakiwa kuchukuliwa ili
kupapambana na tatizo hili.
Kwa namnamoja ama nyingine hakuna kinachobadilisha
tabia ya nchi isipokuwa ni binadamu mwenyewe na
shughuli zake ambaye amekuwa akijitengenezea
mazingira ambayo hayatakuwa rafiki katika maisha
yake na kwa vizazi vijavyo. kwa kiasi kikubwa
mbadilishaji wa tabia ya nchi ni sisi binadamu wenyewe
ambao tumekuwa tukifanya mambo bila ya kujua kuwa yanatubadilishia tabia ya nchi ambapo mabadiliko
hayo ni hatari kwa maisha yetu.

MAMBO YANAYO SABABISHA MABADILIKO YA TABIA
YA NCHI. (FACTORS LEADING TO GLOBAL CLIMATIC
CHANGES).
mambo hayo ni:

1. Ukataji wa miti bila kupanda tena (defforestation)

hili ni tatizo kubwa duniani kote. ukatajo ovyo wa miti
umekithiri na kiwango cha ukataji miti ni kikubwa zaidi
ya kiwango cha upandaji miti.
kwanini tunahimiza "kata miti panda miti" na ni kwa
namna gani miti inabadilisha tabia ya nchi?
Miti ina kazi kubwa katika kutunza tabia ya nchi
kwakuwa inafanya kazi ya kufyonza hewa ya ukaa
(carbondioxide_CO2) ambayo inamadhara kwani
huweka utando katika tabaka la ozoni hivyo kupelekea
joto kuongezeka duniani, hivyo miti huifyonz hewa hii
na kutoa oksijeni (oxygen_O2) ambayo huunda au
huimarisha tabaka la ozoni na kutuepusha na ongezeko
la joto duniani.

Lakini suala hili la ukataji wa miti limekuwa ni tatizo
sana, Shirika la utawala wa anga la Marekani lilitoa
taarifa kwamba kama ukataji wamiti utaendelea kama
hali ilivyo sasa basi baada ya miaka 100 misitu yote ya
kiikweta itakuwa imepotea kabisa, Na hivyo ndivyo
maradhi yatakavyo zuka na kuimaliza dunia kutokana
kuongezeka kwa joto.
Afrika imekuwa ikipoteza hekta nyingi sana za miti na
hii ni kutokana na matumizi ya nishati itokananoayo na
miti yaani kuni na mkaa lakini pia kwasababu ya uhitaji
wa ardhi kwaajili ya shughuli nyinginezo. mpaka sasa
Afrika magharibi imekwisha poteza 90% za miti na hii
ni hatari kwa maisha ya watu na viumbe hai.
kunasababu ambazo binadamu wanazitumia hizo
kukata au kupoteza miti nazo ni kama vile:
i. Shughuli za kilimo
ii. Upataji wa magogo kwaajili ya shughuli mbalimbali
kama vile kutengenezea karatasi, matumizi ya
viwandani, ujenzi n.k
iii. Matumizi ya kuni na mkaa ambayo ni zaidi ya 10%
ya miti inayokatwa.
iv. kupata maeneo kwaajili ya shughuli za kiufugaji.

Kwa ufupi, kupotea huku kwa miti kunasababisha
ongezeko la hewa ya ukaa (CO2) ambako kunaizamisha
dunia kwenye matatizo makubwa, kwasababu misitu au
miti inamchango katika kutokea kwa mvua kwani hutoa
maji kwa njia ya mvuke(Transpiration) ambapo maji
hayo husaidia katika kutokea kwa wingu na hatimaye
mvua.

ITAENDELEA.

ENDELEA KUFUATILIA UELIMIKE, PIA SHARE NA
WENGINE WAIPATE NA TUWAFIKIE WATANZANIA
WENGI.

TANZANIA BILA NJAA, INAWEZEKANA.