Millionaire  Ads

Sunday, February 12, 2017

YANGA YAMTUNDIKA MTU 5 KWA 1

YANGA SC wameanza vizuri mawindo yao ya ubingwa wa Afrika, baada ya kwachapa wenyeji Ngaya Club de Mde mabao 5-1 jioni ya leo mjini Moroni, Comoro.Ushindi huo unamaanisha Yanga watakuwa na shughuli nyepesi tu katika mchezo wa marudiano wiki ijayo mjini Dar es Salaam, kwani hata wakifungwa 3-0 watasonga mbele.

Kiungo Mzambia, Justin Zulu alifungua akaunti yake ya mabao Jangwani baada ya kusajiliwa msimu huu kwa kuifungia Yanga bao la kwanza dakika ya 43.

Kikosi cha Yanga kilichoanza leo Moroni na kuwachapa wenyeji 5-1

Winga machachari, Simon Happygod Msuva akaifungia Yanga bao la pili dakika ya 45 na Yanga ikaenda kupumzika inaongoza kwa mabao 2-0.

Mzambia mwingine, Obrey Chirwa akaifungia Yanga bao la tatu dakika ya 59, kabla ya Mrundi, Amissi Joselyn Tambwe kufunga la nne dakika ya 65 na Mzimbabwe Thabani Kamusoko kufunga la tabo dakika ya 73.

Ngaya walijipatia bao lao la kufutia machozi dakika ya 66 kupitia kwa Said Anfane Bourah Mohammed aliyetokea benchi kipindi cha pili.

Kikosi cha Ngaya kilikuwa; Said Mmadi, Said Hachim, Said Tothir, Adhepeau Denis Hubert, Ali Ahmada, Youssouf Ibrahim Moidjie, Zamir Mohammed, Mounir Moussa, Franck Said Abderemane, Rakoarimanana Falinurina na Chadhuili Mradabi.


Yanga SC; Deogratius Munishi ‘Dida’, Juma Abdul, Mwinyi Hajji, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, Kevin Yondan, Justin Zullu, Simoni Msuva/Emmanuel Martin, Thabani Kamusoko, Amissi Tambwe/Juma Mahadhi, Obrey Chirwa na Haruna Niyonzima/Said Juma ‘Maka

Friday, February 10, 2017

Tatua matatizo yako kwa Aloe lips, aloe liquids na Faida za kitunguu swaumu

ALOE LIPS

Ni bidhaa ndogo lakini inatumika kwa huduma ya kwanza, ina aloe vera , jojoba oil na nta ya nyuki ambayo husaidia kulainisha, kuboresha midomo na ngozi kwa ujumla .
Husaidia kuondoa mipasuko ya midomo, ukavu, vidonda na michubuko.
Pia husaidia na kuondoa maumivu na kuponya watu walio jikata, kung’atwa na wadudu na kuungua moto.
Bidhaa hii ikipakwa mwilini husaidia kufukuza mbu.
Kwa wenye matatizo ya kuvimba sehemu ya haja kubwa(haemorrhoids), ikipakwa husaidia kuu bacteria na kuondoa uvimbe

ALOE LIQUID SOAP                                    
Ni sabuni ya maji yenye ALOE VERA inayofaa kuosha uso, mikono na kuogea.

Husafisha sehemu yoyote ya mwili, kuondoa harara, chunusi, upele, miwasho, fangasi, kuua bacteria na kuifanya ngozi iwe nyororo.

Ni nzuri sana kuogeshea watoto kwa kuwa haitoi machozi na hufanya ngozi yake iwe laini na yenye unyevu unaofaa.

Husaidia matatizo ya ngozi kama pumu ya ngozi - eczema, psoriasis, dermatitis.

Haiwashi, inafaa sana kwa ngozi yoyote kwa kuwa ina PH sawa na ngozi na hii husaidia kupenya kwenye ngozi na kutoa uchafu wote uliojificha.

Inaweza kutumika kunyolea ndevu
Huacha ngozi ikiwa laini na yenye kuvutia.

Ni nzuri kuoshea sehemu za siri huzuia miwasho na harufu mbaya.
Kupata yako tuwasiliane

Kwa maelezo zaidi piga simu no

FAIDA ZA VITUNGUU SWAUMU
FOREVER GARLIC THYME
 Ni vitunguu swaumu vina Allicin inayotoa harufu na yenye sifa kubwa ya kuua bakteria waingiao kwenye mishipa ya damu na kudhuru Mapafu, kibofu cha mkojo na ngozi. Vitunguu swaumu hivi vimetengenezwa katika mfumo wa kidonge kimoja kisichotoa harufu ambapo kidonge kimoja ni sawa na 1000mg za vitunguu swaumu vibichi.
Pia ina Ajoene- Anti-clotting agent (kuzuia damu kuganda) na lecithin ambayo inasafisha na kuondoa mafuta yaliyoganda kama CHOLESTEROL SULPHUR iliyopo kwenye vitunguu swaumu hivi huua fangasi na bakteria hivyo kuzuia na kusaidia tatizo la mafua na candida albicans Germanium ni madini yaliyopo kwa ajili ya kuongeza kinga ya mwili na pia kurekebisha mfumo wa hewa, kuondoa maumivu, kusaidia mmeng'enyo wa chakula na ni ANTIOXIDANT.
FAIDA :
▶ Maumivu ya kichwa, koo, udhoofu wa mwili, huondoa ukuaji wa bakteria matatizo ya moyo, maini, fangasi, mafua, chunusi na mionzi, kuua minyoo.
▶ Inasaidia matatizo ya asthma, arthritis, cancer, insomnia, liver diseases.
▶ Husaidia kuondoa madhara ya chemotherapy na radiotherapy
▶ Matatizo ya diabetic eye na nerves.
[2/10, 01:21] Anno Tg: Arctic Sea imetokana na mafuta ya samaki aina ya Salmon anayepatikana kwenye Kina Kirefu cha bahari ya Arctic anayetoa Omega-3 na mafuta ya mizeituni inayotoa Omega-9. Mafuta haya yanasaidia sana kuondoa cholesterol.
-Inasaidia ukuaji na ufanyaji kazi mzuri wa ubongo (kurudisha kumbukumbu),
-Huongeza nguvu na kinga ya mwili,
-Hurekebisha hormones.
-Husaidia kupambana na kansa ya matiti, tenzi dume na stroke.
-Matatizo ya joint na kuweka mmeng'enyo wako wa chakula vizuri.
-Kuongeza kinga za mwili.
-Kurekebisha na kuboresha mayai ya mwanamke na mbegu za kiume.

RAIS JOHN MAGUFULI AMEFANYA UTEUZI WA KAMISHNA MKUU WA KUSHUGHULIKA NA MADAWA YA KULEVYA


Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli leo tarehe 10 february amefanya uteuzi wa Kamishna Mkuu wa Mamla ka ya kuzuia na kupambana na madawa ya kulevya na Kamisha Mkuu wa Uhamiaji.


Thursday, February 9, 2017

GWAJIMA AWASILI KITUO CHA POLISI CHA KATI KWA MAHOJIANO SAKATA LA DAWA ZA KULEVYA

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima,Mchungaji Gwajima akiwasili kituo cha polisi kati majira ya saa 7:30 mchana akiwa ameongoza na wafuasi wake,kutii agizo la Mkuu wa Mkoa Paul Makonda,ambaye watuhumiwa wote 65 aliowataja jana katika sakata la dawa za kulevya,aliwataka kufika kesho Ijumaa saa 5 asabuhi kituo cha Polisi kati kwa mahojiano zaidi.

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima,Mchungaji Gwajima akiwasili kituo cha polisi kati majira ya saa 7:30 mchana akiwa ameongozana na wafuasi wake, kutii agizo la Mkuu wa Mkoa Paul Makonda,ambaye watuhumiwa wote 65 aliowataja jana katika sakata la dawa za kulevya,aliwataka kufika kesho Ijumaa saa 5 asabuhi kituo cha Polisi kati kwa mahojiano zaidi.


Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima,Mchungaji Gwajima akionekana kufurahia jambo wakati akiwasili kituo cha polisi kati majira ya saa 7:30 mchana akiwa ameongoza na wafuasi wake,kutii agizo la Mkuu wa Mkoa Paul Makonda,ambaye watuhumiwa wote 65 aliowataja jana katika sakata la dawa za kulevya,aliwataka kufika kesho Ijumaa saa 5 asabuhi kituo cha Polisi kati kwa mahojiano zaidi.

Wednesday, February 8, 2017

MATOKEO FRANCE LIGUE 1

 FT Lorient 1:1 Toulouse
 FT Nice 1:0 Saint-Etienne
FT Lyon 4:0 Nancy
FT Angers 0:0 Rennes
 FT Metz 2:1 Dijon
 FT Marseille 2:0 Guingamp
Mechi kati ya FC Bastia dhidi ya Nantes imeahirishwa.

TAMBUA NINI TATIZO LA KUTOA HARUFU UKENI

LIFAHAMU TATIZO LA KUTOA HARUFU MBAYA UKENI!

Ni tatizo ambalo huwaathiri sana Dada zetu na kuwafanya wasiwe huru sana wanapokuwa faragha na wapenzi wao.

SABABU ZAKE;
 -BACTERIAL VAGINOSIS
Hawa ni bacteria ambao hushambulia sehemu ya uke, bacteria hawa hutengeneza uchafu ambao hupelekea harufu katika uke, Mara nyingi bacteria hawa husababishwa na vitu mbalimbali ambavyo mwanamke/msichana ikiwapo kujisafisha uke kwa kutumia vidole na wale wanaoshiriki matendo kinyume na maumbile.
Pia Bacteria hawa hawaambukizwi au kusababishwa na zinaa ingawa watu wanaojihusisha na zinaa wapo katika hatari kubwa sana ya kupata tatizo hili.

 MAGONJWA YA ZINAA
VAGINAL TRICHOMONIASIS ni ugonjwa ambao unaathiri sana wanawake, ugonjwa huu wa zinaa huambatana na dalili kama kutoa majimaji yenye harufu mbaya ukeni, ambayo huwa na rangi ya kijani na njano.
Gonjwa hili huambukizwa kwa njia ya zinaa.
GONORRHEA, pia hili ni gonjwa jingine la zinaa ambalo hupelekea kutoa majimaji machafu yanayonuka ukeni na huwasha
Tatizo hili huambatana na maumivu wakati wa kukojoa, maumivu wakati wa tendo la ndoa na maumivu chini ya kitovu.

  FANGASI ZA UKENI
Pia huchangia kwa kiasi kikubwa kutoka kwa harufu ukeni.
Mara nyingi mwanamke mwenye tatizo hilo hupata sana miwasho ambayo huambatana na kutokwa na majimaji mazito ukeni yenye harufu.

   KANSA YA UKE AU KANSA YA MLANGO WA KIZAZI
Huambatana na kutokwa majimaji ukeni yenye harufu mbaya na Kali
 
   UCHAFU BINAFSI
Pia harufu chafu ukeni husababishwa na uchafu binafsi wa mwanamke kushindwa kujiweka katika hali ya usafi. Kutokufua nguo za ndani na pia kukaa mda mrefu bila kuoga.

JE UNASUMBULIWA NA TATIZO HILI NA BADO HUJALIPATIA UFUMBUZI?

WASILIANA NASI UPATE BIDHAA AMBAZO ZITAKUSAIDIA KUZITUMIA KUONDOA TATIZO LAKO NA KUWA KATIKA HALI NZURI,

PIA ZIPO BIDHAA KWA MTUMIAJI WA KAWAIDA ZA USAFI WA MWILI NA NGOZI

WASILIANA NASI

0716789967
0715676045

Ratiba ligi ya Ufaransa

France - Ligue 1
19:00 Lorient -:- Toulouse
19:00 Nice -:- Saint-Etienne
19:00 Lyon -:- Nancy
19:00 SC Bastia -:- Nantes
19:00 Angers -:- Rennes
19:00 Metz -:- Dijon
21:00 Marseille -:- Guingamp