Millionaire  Ads

Thursday, March 30, 2017

Tumia simu yako kujiajiri kwa kuandika blog

Tags
Hii ni ajira ya muda wa ziada. Uandishi kwenye blog. Unapewa blog ya kuandika habari zako unazozipenda unaifanya blog yako ijulikane na watu duniani kisha kila mwisho wa mwezi unakuwa unalipwa kwa kila anayesoma blog yako.

Kazi hii unaweza kuifanya kwa kutumia simu ya smartphone sio lazima uwe na kompyuta. Malipo ni mazuri sana. Hutajutia kufanya kazi hii yao uandishi kwenye blog. Unaweza kutuma maombi yako na kupewa blog leo hii hii tuma sms whatsap au telegram au wasapu kwa namba hii 0652428852

Je unaweza kuandika nini kwenye blog ili watu waipende na kuitembelea kila siku?

Hili ni swali zuri na ndiyo chanzo cha mafanikio kwenye kazi hiii ya uandishi wa blog.
Vipo vitu vingi vya kuandika ambavyo watu wanapendelea kuvitafuta kwenye mitandao kama blogs. Baadhi ya vitu hivyo ni kuandika habari zinazotangazwa kwenye vyombo vya habari kama Televisheni magazeti na redio unatakiwa uwe mfuatiliaji mzuri wa habari zinazungumziwa sana ndizo za kuandika kwenye blog yako. Mfano kama Rais Magufuli amezungumza kitu kuhusina na Mkuu wa mkoa wa Dar es salam na wiki hiyo habari nzito ilikuwa mkuu wa mkoa kupiga vita madawa ya kulevya basi tengeneza habari yenye uadilifu kutoka kwenye tukio hilo kisha andika kwenye blog yako muda si mrefu utakuta watu wanamiminika kwenye blog yako kutoka google search wakisoma habari hiyo. Angalizo tu usiiandike vibaya serikali au kiongozi wa serikali kwakua hakuna anayeweza kupambana na serikali hata kama awe na pesa namna gani. Kuwa mpole maisha yasonge mbele. Tafuta kipato chako achana na siasa inakupotezea muda japo ina mchango mkubwa katika kuboresha maisha yako lakini hakuna jinsi kwa nchi kama Tanzania.

Unaweza kuamua kufundisha mambo mbalimbali yahusuyo jamii kama jinsi ya kuendeleza kilimo cha kisasa, unaweza kuamua kufundisha masuala ya afya tu au kitu chochote ambacho una ujuzi nacho au kitu ulichosomea chuoni.

Je niandike habari ngapi kwa siku au kwa wiki?

Kisheria unapopewa blog unatakiwa kuandika habari zaidi ya tatu kwa wiki yaani kwa siku saba lakini kama unataka upate wasomaji wengi andika habari angalau moja kila baada ya saa moja au masaa mawili. Hizi ni habari unazozipata toka kwenye vyombo vya habari kama television au redio lakini kama umeamua kufundisha jamii mambo fulani unaweza andika makala moja kwa siku au kwa siku mbili. Ni vizuri uchanganye habari na matukio ya kila siku na makala za kufundisha jamii kitu unachokijua zaidi.


Je hiyo blog nayopewa naweza imiliki mpaka napozeeka?
Ndiyo unaimiliki kwa ngazi ya uandishi pia ukipata matangazo toka kwa watu wako tunakuwekea kwenye blog hiyo na pesa zote ni zako sisi hatuchukui hata shilingi kwakua tayari tuna matngazo yetu matatu kwenye blog hiyo. Unaimiliki blog maishani ili mradi tu usikiuke masharti ya uandishi ambayo unapewa siku ya kwanza unapopewa blog kama vile lazima uandike habari au makala si chini ya tatu ndani ya siku saba yaani kila wiki lazima uandike angalau habari tatu au makala tatu. kutofanya hivyo blog hiyo anapewa mwingine. Soma masharti yote na malipo kwa kubonyeza hapa

Tuma ujumbe sasa ukiwa whatsapp 0652428852 ukiwa telegram 0652428852 ukiwa kwenye mtandao wa wasapu 0652428852 elezea unataka kuandika mambo gani na unatoka mkoa gani wilaya gani. utajibiwa leo leo na kupewa blog leo leo.
Unaweza kuuliza wali hapa chini karibu sana

Wednesday, March 29, 2017

Africa can develop if the technology will be used appropriately

Tags

The spread of GSM communication technology in African can help to eradicate poverty. Many Africans has adopted this technology positively. Each household owns more than one mobile phone. I wish I could do reach on this to prove this statement. I 'm seeking for stakeholders who can assist me to do reach on how GSM technology perform in Africa.
Click to get a blog

The community of today can receive money transfer money while in bed. They need not to go to bank premises to deposit their money or to withdraw money. Real technology has reduced time to move from home to banks waiting for seven hours to be attended by bank tellers.

Mobile phone is like one of the sense of organs. A man can not manage to go to church leaving his mobile phone home. He must take the phone to church and he can not switch off while praying despite the posters in the church that instruct prayers to switch off their mobile phone when entering the church.
Start blogging let us pay you


This technology is like a new fashion of people, every one wants to go parallel with this fashion. No one can dare to be left behind. The rise of modern mobile phones like smartphone and Iphone has improved life style of Africans. There are millions of apps online from google play store, app store and other app stores. Africans use those apps to get information that can be used to improve their lives. App like whats app, wasapu, telegrams, facebook yahoo and google apps helps much to connect Africans and other continents. Information is development. Example rural Africans can get price of crops in town markets and decide to transport their crops or wait for crops price to increase so as Start advertising online without paying a single cent
There are some Africans who went further exploiting this technology. The rise of smartphone technology has come with improvement of internet access to Africans. Since many people use internet to get information now some Africans make huge revenues by creating blogs and publishing their interesting news and articles. Blogs make good revenues when a publisher is serious with blogging. Start a blog write useful contents create popularity then start selling ads to that blog

If you do not have idea about creating a blog we can help you for free or hire you to write our blog and pay you each month follow us using this number on whatsapp or telegram or wasapu +255652428852 We shall help you to start your own blogging job.

We welcome comments, write below.

Tuesday, March 28, 2017

Taifa langu kwanza, Ney wa mitego na wimbo uliosababisha akamatwe na polisi

Tags

Unamfahamu msanii ajulikanaye kwa jina la ney wa mitego alitoa wimbo ambao unadhaniwa kuwa ni kuikashifu serikali ya Tanzania. Mijadala imekuwa ikiendelea mitandaoni kuwa ney wa mitego ameimba wimbo uliokashifu serikali. Pia wengine wameripoti Ney wa mitego amekamatwa na polisi kuhusiana na wimbo huo na ikasemekana kuwa wimbo huo umefungiwa na BASATA Baraza la sanaa Tanzania. 


Katika pita pita yangu mitandaoni nikakutana na habari ikielezea kuwa Ney wa mitego amepata mwaliko ikulu kwa rais na siku moja nyuma niliona sehemu imeandkwa Rais Magufuli aamuru Ney wa mitego aachiwe huru kwani Hata yeye rais amependa wimbo huo pia anamshauri Ney wa mitego kuendelea kukosoa na aende mbele zaidi  akosoe hata wale wanaouza madawa ya kulevya na kuyatumia.

Ndugu msomaji wa blog hii unapata picha gani hapa. Je ney wa Mitego yupo sahihi? Je na wasani wengine waige kutoa nyimbo kama hizo?

Unaweza toa maaoni kwa comment hapa chini. Kumbuka matusi kashfa hazirihusiwi. Sheria ya makosa ya kimitandao isije kukuangukia. Jadili kwa lengo la kujenga si kubomoa. Pia unaweza kuungana na watanzania wenzio kujadili chochote kwenye forum maarufu Tanzania bonyeza hapa  "Taifa langu kwanza."
---------------------------------------------------------------------------------------------------

Announcement: We hire bloggers, Do you want to start blogging business? We give you a blog and we pay you per each blog user who read your blog. The blog will contain our advertisements but you will be allowed to place unlimited local advertisement  and earn more money. Using telegram or whats app check us +255652428852 you will start blogging business today and create your own job

Do you know wasapu social network? Wasapu is the best app that you can make free calls and send unlimited sms, wasapu pays group admins. Create a group then add members last wait for salary each month. Download "Wasapu" from google play

Saturday, March 25, 2017

Join wasapu social network that pays group admins

Tags
Thank you for taking time to read this good news, You have been using social networks for many days but how to do you benefit from those social networks?

Good news wasapu social network pays group admins. Wasapu pays admins because they do good job of adverting the app and making it active all the time.

Do you know social media makes huge revenues from advertising programs? You use those social media for free but you help them make good revenues every minute you spend to the social media you love.

Wasapu cares you as its beneficiary so you get some of the revenues generated from wasapu app.

Get it now from google play and starting making profit from revenues provided to admins of groups 

Or go to google play store in the search bar write "wasapu"  then click search button.

You will get more information about admins and payments after you have installed the app  to your mobile phone
Wasapu supports  androids devices only

Tuesday, March 21, 2017

DAWA KWA ANAEKABILIWA NA VIPELE BAADA YA KUNYOA

Tags
Je una changamoto ya kutoka vipele baada kunyoa? Ni wewe au rafiki yako?

Kwa kutumia Aloe gentleman's pride na Aloe face and soap. Zitakusaidia kuondoa changamoto ya muwasho na vipele baada ya kunyoa.

Kwa mawasiliano namba 0656780825
#aftershave
#razonbumps

Ratiba ya Confederation Cup, baada ya droo kufanyika Cairo.....Yanga Vs?????????

Tags

Ratiba ya hatua ya mwisho ya mtoano.

By:
    Abineri Mwanuke.

Baada ya Dar es Salaam Young Africans
kutolewa katika michuano ya Club Bingwa Afrika
na Zanaco FC ya Zambia na kuangukia Kombe la
shirikisho barani Africa, leo March 21 2017
shirikisho la soka barani Afrika CAF
limechezesha droo ya mtoano wa mwisho.

Mwaka huu ambapo mashindano ya CAF
yamefanyiwa mabadiliko ya Club Bingwa na
Shirikisho na kuweka Makundi manne tofauti na
misimu iliyopita makundi mawili, imechezesha
droo na Yanga kuangukia dhidi ya MC Alger ya
Algeria , Yanga itaanzia nyumbani na baadae
kurudiana Algeria .

"Msikubali kuangushwa na wachache, ninyi ni wengi" Hussein Bashe.

Tags

Mb. Hussein Bashe

By:
    Abineri Mwanuke.

March 21, 2017 Mbunge wa Nzega mjini kupitia
CCM Hussein Bashe amepost ujumbe kupitia
ukurasa wake wa Instagram wenye maneno
yaliyosomeka…>>>' Kama taifa wazee wetu
walipoanzisha harakati za kudai uhuru na
hatimaye tukaupata mwaka 1961 walikuwa na
malengo '
' Upo uwezekano mkubwa kwamba sisi viongozi wa
sasa tumewaangusha ninyi raia katika kufikia
malengo ya waasisi wetu ' –Hussein Bashe
' Msikubali kuangushwa na sisi wachache, nyinyi
ni wengi mna mamlaka na nguvu ya kututaka sisi
kuwafikisha kwenye malengo ya Uhuru ' –Hussein
Bashe
' Ni jambo la hatari kwa taifa inapotokea viongozi
wakakosea na kutoka nje ya malengo, wananchi
wakakaa kimya na kuogopa kuonya, kushauri,
kukosoa au hata kukemea sababu tu ya woga au
hofu.'- Hussein Bashe
' Tutakua tunajenga taifa la raia waoga msiingiwe
na woga juu ya kudai haki zenu na kututaka sisi
viongozi kutimiza wajibu wetu ' -Hussein Bashe
' Kwa kushindwa kwenu kutukemea au kutushauri
tunapokengeuka sote tunaingia katika kundi moja
la kuwakosea na kuwasaliti wazee waliopigania
UHURU wa taifa letu. TUJISAHIHISHE ' –Hussein
Bashe

"Msikubali kuangushwa na wachache, ninyi ni wengi" Hussein Bashe

Tags

March 21, 2017 Mbunge wa Nzega mjini kupitia
CCM Hussein Bashe amepost ujumbe kupitia
ukurasa wake wa Instagram wenye maneno
yaliyosomeka…>>>' Kama taifa wazee wetu
walipoanzisha harakati za kudai uhuru na
hatimaye tukaupata mwaka 1961 walikuwa na
malengo '
' Upo uwezekano mkubwa kwamba sisi viongozi wa
sasa tumewaangusha ninyi raia katika kufikia
malengo ya waasisi wetu ' –Hussein Bashe
' Msikubali kuangushwa na sisi wachache, nyinyi
ni wengi mna mamlaka na nguvu ya kututaka sisi
kuwafikisha kwenye malengo ya Uhuru ' –Hussein
Bashe
' Ni jambo la hatari kwa taifa inapotokea viongozi
wakakosea na kutoka nje ya malengo, wananchi
wakakaa kimya na kuogopa kuonya, kushauri,
kukosoa au hata kukemea sababu tu ya woga au
hofu.'- Hussein Bashe
' Tutakua tunajenga taifa la raia waoga msiingiwe
na woga juu ya kudai haki zenu na kututaka sisi
viongozi kutimiza wajibu wetu ' -Hussein Bashe
' Kwa kushindwa kwenu kutukemea au kutushauri
tunapokengeuka sote tunaingia katika kundi moja
la kuwakosea na kuwasaliti wazee waliopigania
UHURU wa taifa letu. TUJISAHIHISHE ' –Hussein
Bashe

Thursday, March 16, 2017

Mwandishi wa blog hii Muhimu

Tags
Tunaomba mwandishiwa blog hii ujiunge pale www.millionairebloggers.com kisha ujitambulishe kuwa ndiye mwandishi wa blog hii ili uunganishwe kwenye mfumo wa malipo na uweze kujua umepata shilingi ngapi kwa mwezi.

Tunakutakia kazi njema 

Saturday, March 11, 2017

TRENI YA KIFAHARI YAFIKA NCHINI IKITOKEA SOUTH AFRIKA

Tags

Source:millardayo.com

Leo March 11 2017 Nchini Tanzania imewasili
Treni ya Kifahari ya Kitalii ya Rovols Rail, Treni
ambayo imeingia na jumla ya watalii 71, Ripoti
kutoka kwa wasafiri waliiambia Ayo TV na
millardayo.com kuwa wameanza safari yao
kutoka South Africa March 1 2017.

Kwa mujibu wa msemaji wa Treni hiyo ya
Rovols Rail amezungumza na Ayo TV na kusema
wamepita nchi ya Botswana, Zimbabwe, Zambia
na leo March 11 2017 ndio wameingia rasmi
Tanzania.

' Ni safari ambayo tumeianza March 1 2017 na leo
March 11 2017 tumeingia Tanzania tunatarajia
kuzifanya safari hizi mara tano kwa mwaka na hii
ya leo ndio safari yetu ya kwanza'- Querida
Vented

By
    Abineri mwanuke.