Millionaire  Ads

Monday, November 7, 2016

BREAKING NEWS: MWENYEKITI MSAIDIZI WA BODI YA LIGI KUU AMEFARIKI DUNIA.

Tags

Saidi Mohammed, makamu mwenyekiti wa bodi ya ligi,  na pia aliyewahi kuwa mwenyekiti wa azam amefariki dunia.

kiongozi huyo amefariki katika hospitali ya Agakhan alikokuwa akipatiwa matibabu.

kwa taarifa zaidi, endelea kutembelea blog hii.

Imeandikwa na:
                  Abineri Mwanuke

Unaipenda Tanzania acha ujumbe hapa, comment
EmoticonEmoticon