Millionaire  Ads

Tuesday, November 8, 2016

BREAKING NEWS: JOSEPH MUNGAI AFARIKI DUNIA JIONI YA LEO.

Tags

     Waziri wa zamani wa Elimu Tanzania Joseph Mungai amefari dunia jioni ya leo.

chanzo kimeripoti kuwa kabla ya kufariki alitapika mara kadhaa japo haijajulikana chanzo cha tatizo hilo ni nini.

kwa habari zaidi endelea kutufuatilia.

    Imeandikwa na :
                  Abineri Mwanuke

Unaipenda Tanzania acha ujumbe hapa, comment
EmoticonEmoticon