Uchaguzi wa Marekani unaendelea na unakarbia mwisho.
Donald Trump ameshinda baada ya kupata kura 275 dhidi ya 218 za Clinton katika majimbo 45 ambayo yametangaza Matokeo.
pia mshindi alitakiwa kufikia kura 270 tu katika majmbo yote 50.
Clinton naye amekiri kushindwa.
Source: BBC SWAHILI NEWS.
Imeandikwa na:
Abineri Mwanuke

Unaipenda Tanzania acha ujumbe hapa, comment
EmoticonEmoticon