Rais mteule wa Marekani Bill. Donald Trump amesema hatachukua hata dola moja ya mshahara wake.
Trump amesema, wakati wa kampeni aliziendesha kampeni zake kwa gharama zake yeye mwenyewe hivyo hata akiwa Rais hahitaji mshahara.
Trump anasemekana kuwa na utajiri wa dola Billion 3.7 ambazo ni sawa na zaidi ya Tsh. Trilioni 8.
By: Abineri Mwanuke

Unaipenda Tanzania acha ujumbe hapa, comment
EmoticonEmoticon